Home Broadcast & Network News NAITIRI: Buriani Charles Ofunuo

NAITIRI: Buriani Charles Ofunuo

556
0

Marehemu Charles Ofunuo hatimae aletwa Kwame nyumbani Naitiri. Alikuwa akifanya kazi ya kuendesha pikipiki Naitiri main Stage na pia alikuwa Chairman wa Boda Boda Naitiri Main Stage.

Gari lililo ubeba mwili wake Ofunuo.

26/8/2020 JUMATANO

Mwili wake uliletwa sokoni Naitiri masaa ya saa Nane kisha kuelekezwa Kwake nyumbani. Amemuacha mjane na watoto wawili.

Mazishi

Mazishi yatafanyika tarehe 27/8/2030 kuambatana na kanuni zilizowekwa kulingana na maagizo ya kuzuia maambukizi ya Corona

Tunaitakia Familia afueni ya haraka na Mungu ailaze roho yake Mahala pema.

Buriani Charles Ofunuo

Previous articleDr Magoha assures Parents over School Reopening issues || Corona Virus pandemic
Next articlePresident Uhuru Kenyatta speech about Covid 19 in Kenya
Blogger and news writer at Tambua Africa News.