Broadcast & Network News
NAITIRI: Buriani Charles Ofunuo
Marehemu Charles Ofunuo hatimae aletwa Kwame nyumbani Naitiri. Alikuwa akifanya kazi ya kuendesha pikipiki Naitiri main Stage na pia alikuwa Chairman wa Boda Boda Naitiri Main Stage.
26/8/2020 JUMATANO
Mwili wake uliletwa sokoni Naitiri masaa ya saa Nane kisha kuelekezwa Kwake nyumbani. Amemuacha mjane na watoto wawili.
Mazishi
Mazishi yatafanyika tarehe 27/8/2030 kuambatana na kanuni zilizowekwa kulingana na maagizo ya kuzuia maambukizi ya Corona
Tunaitakia Familia afueni ya haraka na Mungu ailaze roho yake Mahala pema.
Advertisement
Buriani Charles Ofunuo