Advertisement
Broadcast & Network News

NAITIRI: Buriani Charles Ofunuo

Marehemu Charles Ofunuo hatimae aletwa Kwame nyumbani Naitiri. Alikuwa akifanya kazi ya kuendesha pikipiki Naitiri main Stage na pia alikuwa Chairman wa Boda Boda Naitiri Main Stage.

Gari lililo ubeba mwili wake Ofunuo.

26/8/2020 JUMATANO

Mwili wake uliletwa sokoni Naitiri masaa ya saa Nane kisha kuelekezwa Kwake nyumbani. Amemuacha mjane na watoto wawili.

Mazishi

Mazishi yatafanyika tarehe 27/8/2030 kuambatana na kanuni zilizowekwa kulingana na maagizo ya kuzuia maambukizi ya Corona

Tunaitakia Familia afueni ya haraka na Mungu ailaze roho yake Mahala pema.

Advertisement

Buriani Charles Ofunuo

Tambua Africa Reporter

Blogger and news writer at Tambua Africa News.

Related Articles

Hi! Post Your Comment Here.

Back to top button

Adblock Detected

Kindly Allow Ads to view this page.