Local News
Mtoto wa umri wa siku 2 aokolewa na polisi baada ya mamake kumtupa chooni Bungoma
Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- Schools Reopening in Kenya for Term 2 Postponed by the MoE to 6th May
- Mai Mahiu Flash Floods: 28 People Reported missing as Government confirms 71 dead
- Former President Uhuru Kenyatta Pledges Ksh.2M donation to Red-cross in Support of Flood Victims
- Sergeant Rose Nyawira Biography, Age, Husband, Career, Family and Photos
- General Francis Ogolla Biography, Age, Wife, Family and Net-Worth – Q-Facts