Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- Blessing Lung’aho Biography, age, Net-worth, Citizen Tv and Showmax Movies
- When will KYEOP Cycle 8 Grants be disbursed?
- 45 Wiper Party Candidates order Kalonzo to return to Azimio la Umoja One Kenya Coalition
- KNEC makes slight changes on KPSEA Timetable, Instructions and Guidelines
- Sultana Citizen Tv 23rd May 2022 Full Episode part 1 and 2 : Written Updates