Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- Finance Bill 2023 Kenya: Miguna’s U-Turn as Kenyans Reject the 2023 Bill
- William Oduol Denge Biography, Age, Tribe, Wife, Family and Net-Worth
- Siaya Deputy Governor William Oduol to be Impeached after 38 MCAs Vote – Yes
- Seth Panyako Biography, Age, Tribe, Wife, Cv and Networth
- TSC Recruitment May/June 2023 Set to Fill 488 Vacancies with P/P Jobs – PDF