Local News
Mtoto wa umri wa siku 2 aokolewa na polisi baada ya mamake kumtupa chooni Bungoma
Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- KDF Helicopter Crash Today, Kills Five in West Pokot
- Kuza ICT Awards 2024 Voting, Nominees List Unveiled – CAK Kenya
- President Ruto Opens up on 2,100 Government Employees with ‘FAKE’ Certificates
- June Moi, Former President Moi’s Daughter dies at 60
- Bunge Towers Kenya: Mps to start occupying the Sh. 9 Billion Building – Nairobi