Local News
Mtoto wa umri wa siku 2 aokolewa na polisi baada ya mamake kumtupa chooni Bungoma

Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- Mixed Reactions after Netizens accused Christina Shusho of “plagiarism”
- Michael Warutere of Riara Schools emerges the TOP Candidate in 2023 KCPE
- KCPE Results 2023 set to be released by 23rd Thursday
- Meet Lexy Of Becky Citizen Tv show from Street to Royal Life
- Anne Njeri Njoroge Biography, Net worth, Age, Tribe, Husband – Wikifacts