Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.
Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa
- Raila to Ruto, “Get out of State House and let Baba Move in.”
- TSC Recruitment For Junior Secondary Open to P&P Teachers in Public Primary Schools who meet requirements
- Tahmeed Bus Carrying 42 Passengers to Mombasa Catches Fire
- Watch: Sultana 30th January 2023 (Jj Forces out the Truth)
- Updates: Sultana Citizen Tv 30th January 2023 (Jj Is Untouchable)