Advertisement
Local News

Mtoto wa umri wa siku 2 aokolewa na polisi baada ya mamake kumtupa chooni Bungoma

Mtoto wa umri wa siku mbili anapokea matibabu katika hospitali ya Webuye baada ya kuokolewa na maafisa wa polisi kutoka kwa shimo la choo alikotupwa na mamake mzazi. Mama huyo Malin Khayanga  mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya upili ya St. Thomas Misihu alimtupa mwanawe chooni baada ya kujifungua mtoto msichana  japo aliwahadaa jamaa zake kuwa alikuwa amekula chakula chenye sumu kilichomsababishia maumivu ya tumbo.

Naye mamaye msichana huyo kwa jina Eunice Wambani anataja furaha yake baada ya mjukuwe kuokolewa

Tambua Africa Reporter

Blogger and news writer at Tambua Africa News.

Related Articles

Hi! Post Your Comment Here.

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Kindly Allow Ads to view this page.