Kanyaga by diamond lyrics

Kanyaga

(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
It’s Platnumz, Zombie
(Woo, woiyo ooh woiyo ooh)
Its S2kizzy beiby
 
Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki
Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki
Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi
Hakulishi, hakuvishi kwani vipi?
 
Kanyaga
Wazee wa shombo kudandia, kanyaga
Klabu kuomba omba bia, kanyaga
Slay queens vitisho vya bandia
Ukivipa hai ati madai vinavimbia
 
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
 
 
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
 
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
 
 
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
 
Ooh yeah eeh
Siku hizi watu wanataka money
So nikimuita aku kosti, Kanyaga!
Kunitumia mipicha pigo gani?
Ati basi day nikuposti (oh yeah yeah)
 
Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga!
Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga!
Sina godoro sina kitanda
Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (yii)
 
Kama buti la mugambo, Kanyaga!
Wavuruga mipango, Kanyaga!
Wazee wa Insta michambo
Ati ‘baby niunge bando’
 
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
 
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
 
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
 
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
 
I say leeeooo..
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na bare, kama wao pakasi kwako
 
Asa timba, timba timba (timbaaa)
Wanangu timba (timbaaa)
Wao kula kushoto (timbaaa)
Kula kulia (timbaaa)
 
I say timba, timba timba (timbaaa)
Oyaa wahuni timba (timbaaa)
Kama unazikili (timbaaa)
Mchaka kabisa akili (timbaaa)
 
Kimya!
Exit mobile version